SIDO YAENDESHA MAFUNZO YA TOT ILI KUONGEZA WATAALAMU ZAIDI
Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO), limeendesha mafunzo ya wiki tatu (tarehe 6 hadi 24 Aprili, 2021) kwa ajili ya kuongeza wakufunzi watakaokuwa wanatoa ushauri na mafunzo kwa wajasiriamali nchini.
WAZIRI MKUU AIPONGEZA SIDO KWENYE MAONESHO YA UWEZESHAJI
Waziri Mkuu, Mhe. Kassimu Majaliwa alitoa pongezi hizo baada ya kutembelea bidhaa mbalimbali za wajasiriamali kwenye Maonesho ya Programu na Mifuko ya Uwezeshaji yaliyofanyika Arusha hivi karibuni.
SIDO YAENDELEZA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA VIRUS VYA COVID -19
Katika juhudi mbalimbali zinazofanywa na serikali za kupambana na virusi wa COVID – 19, Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limeunga mkono juhudi za serikali kwa kutoa elimu mbalimbali na vifaa vya kujikinga na virusi hivi vya corona