Lugha

  • English
  • Kiswahili
  • Ingia
Desemba 11, 2023
Home
Small Industries Development Organization
  • Kuhusu Shirika
    • Utangulizi
    • Muundo wa Shirika
    • Ofisi za Shirika
    • Dira Na Dhamira
    • Mpango Mkakati
    • Huduma za SIDO
    • Habari za Miradi
    • Wabia na Wafadhili
    • Mawasiliano
  • Teknolojia
    • Upatikanaji wa Teknolojia
    • Kukuza Ubunifu
    • Uhamishaji wa Teknolojia
    • Huduma za Ushauri wa Ki-Ufundi
    • Katalogi za Mashine
  • Mafunzo na Ushauri
    • Kurasimisha Biashara na Bidhaa
    • Kalenda ya Mafunzo
    • Katalogi ya Mafunzo
    • Ushauri, Usimamizi na Uelekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
      • Habari za utafiti wa Biashara
      • Uundaji Miradi
      • Upembuzi yakinifu
      • Miundo Mbinu ya Uwekezaji
  • Masoko
    • Vifungashio
    • Ratiba ya Maonesho ya Kibiashara
    • Mianya ya Biashara
    • Katalogi ya Bidhaa na Huduma
    • Machapisho
    • Video za Masoko
  • Huduma za Kifedha
    • Huduma za Mikopo
    • Unganishaji Huduma za Kifedha na Mikopo
    • Mpango wa Dhamana ya Mikopo
    • Ushauri wa Huduma za Kifedha
  • Habari za Kilimo
    • Pembejeo Za Kilimo
    • Wawezeshaji
    • Teknolojia za Usindikaji
    • Wafanyabiashara au Wasindikaji
    • Habari za Masoko
    • Vikundi vya Ushirika wa Wakulima
  • Safu ya Wajasiriamali
    • Orodha ya Wajasiriamali
    • Mafanikio ya Wajasiriamali
    • Taarifa Juu ya Wajasiriamali
  • MAONESHO YA 4 SIDO KITAIFA YAIBUA WABUNIFU WA TEKNOLOJIA
    Maonesho ya Nne ya SIDO Kitaifa yaliyoandaliwa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, yalisheheni bidhaa mbalimbali toka kwa wajasiriamali wadogo na wa kati kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani zikiwemo teknolojia mbalimbali za mashine zilizokuwa zimetengenezwa kwa ubunifu mkubwa.
    Maelezo zaidi.............
  • MAKAMU WA RAIS AFUNGA MAONESHO YA 4 YA SIDO KITAIFA -NJOMBE
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. Philip Mpango, alifunga maonesho ya nne ya SIDO Kitaifa yaliyoandaliwa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo(SIDO) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
    Maelezo zaidi.............
  • MAONESHO YA 4 SIDO KITAIFA - NJOMBE, FURSA ZATAJWA
    Maonesho ya nne ya SIDO Kitaifa yaliyoandaliwa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, yameibua fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika mkoa wa Njombe.
    Habari Zaidi.........
  • SIDO YAVUMISHA BIDHAA ZA WAJASIRIAMALI 47 DITF, 2023
    Kupitia Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Saam (DITF) kuanzia tarehe 28 Juni na kumalizika tarehe 13 Julai, 2023, SIDO ilihakikisha kuwa wajasiriamali walioshiriki maonesho hayo wanakukutanishwa na wadau mbalimbali na pia kupatiwa mafunzo ya ujasiriamali kipindi chote cha maonesho.
    Maelezo zaidi.............
  • SIDO YAENDELEA KUWAANDAA WATAALAMU WA UJASIRIAMALI (T0Ts)
    SIDO imeendelea kuwaandaa walimu wa ujasiriamali kwa kuwapatia mafunzo yanayojulikana kama TOTs ( Training of Trainers). Mafunzo haya yana lengo la kuwaandaa washiriki kuweza kutoa mafunzo kwa wajasiriamali katika fani mbalimbali zikiwemo usindikaji wa vyakula, utengenezaji wa sabuni, batiki na uokaji.
    Habari Zaidi.........
  • BODI MPYA YA WAKURUGENZI SIDO YAZINDULIWA RASMI
    Hivi karibuni, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Ashatu K. Kijaji akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara, Dkt. Hashil T. Abdallah, walizindua Bodi mpya ya Wakurugenzi - SIDO.
    Habari Zaidi.........
  • SIDO ARUSHA YAFANYA MAFUNZO YA VIFUNGASHIO NA UFUNGASHAJI
    Hivi karibuni, Meneja wa SIDO Arusha aliandaa mafunzo ya Branding, Packaging na Labelling kwa wajasiriamali takribani 40 wanaozalisha bidhaa mbalimbal yakiwa na lengo la kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati kufungasha bidhaa zao ili ziwe na mwonekano mzuri na wakuvutia katika masoko ya ndani na nje ya nchi.
    Maelezo zaidi.............

Matangazo

  • MAWASILIANO YA OFISI ZA MIKOA SIDO
    01/2/2023
    Mpya
zaidi...

Habari na Matukio

  • MAONESHO YA 47 YA KIMATAIFA YA BIASHARA (DITF)
    05/4/2022
  • MAONESHO YA 4 YA SIDO KITAIFA
    05/4/2022
zaidi...

Tovuti Muhimu

  • Benki Kuu Tanzania
  • BRELA
  • Wizara Ya viwanda Na Biashara
  • Wizara Ya Kilimo
zaidi...

Kuhusu

  • Ofisi za Shirika
  • Mpango Mkakati
  • Muundo Wa Shirika

Tembelea

  • Habari na Matukio
  • Matangazo
  • Picha
  • Video
  • Sauti
  • Tovuti Muhimu

Rasilimali

  • Barua Pepe
  • ERMS
  • Eoffice

Msaada

  • Mawasiliano

Follow us

  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Youtube
  • LinkedIn

Hati Miliki © 2023 | Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo Vidogo. Haki Zote Zimehifadhiwa